Vienna

Austria / Wien / Vienna /
 mji, first-level administrative division (en), capital city of country (en)


www.youtube.com/watch?v=kpiPWcH4LNQ
Vienna (Kijer.: Wien) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Austria. Iko katika mashariki ya Austria kando la mto Danubi. Idadi ya wakazi imezidi milioni moja na lakhi sita. Vienna ina cheo cha jimbo ndani ya shirikisho la jamhuri ya Austria.
Nearby cities:
Coordinates:   48°13'13"N   16°22'46"E
This article is protected.
  •  256 km
  •  275 km
  •  362 km
Array