Karachi (Гадап)

Pakistan / Sind / Karachi / Гадап
 capital city of state/province/region (en), second-level administrative division (en), former national capital (en)

Karachi (Kiurdu: كراچى) ni mji mkubwa wa Pakistan na mji mkuu wa jimbo la Sindh. Hadi 1959 ilikuwa mji mkuu wa kitaifa. Mji ni kitovu cha kibiashara cha Pakistan.
Karachi iko kando la delta ya mto Indus mwambaoni wa Bahari Arabu. Kuna mabandari mawili na viwanda vingi.
Mohammed Ali Jinnah anayekumbukwa kama baba wa taifa la Pakistan alizaliwa pia kuzikwa mjini.
Coordinates:   25°11'1"N   67°6'16"E
Array