Santiago de Querétaro

Mexico / Queretaro /
 mji, capital city of state/province/region (en)

Querétaro (jina rasmi: Santiago de Querétaro) ni mji mkuu na mji mkubwa katika jimbo la Querétaro upande wa kati ya nchi Mexiko. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2005, mji una wakazi wapatao 596,450 wanaoishi katika mji huu. Uneo lake ni 759.9 km².
www.venaqueretaro.com/
Nearby cities:
Coordinates:   20°36'6"N   100°24'16"W
  •  41 km
  •  156 km
  •  272 km
  •  459 km
Array