Istanbul
Turkey /
Istanbul /
World
/ Turkey
/ Istanbul
/ Istanbul
/ Uturuki / Mkoa wa Istanbul
mji, capital city of state/province/region (en), former national capital (en), millionaire city (en)
Istanbul (inatajwa İstanbul kwa Kituruki) ni mji mkubwa katika Uturuki, zamani ulikuwa ndio mji mkuu wakati wa zama za dola la Ottoman hadi kufikia mnamo mwaka wa 1923. Jiji lilikuwa linajulikana tangu enzi za kale wakati mji unaitwa jina la Byzantium na Constantinople. Kuwepo kwa bandari katika mji wa Istanbul, kumepelekea mji huo kuwa kitovu cha biashara katika Uturuki. Kikawaida mji wa Istanbul upo sehemu zote mbili, bara la Asia na Ulaya. Idadi ya wakazi wa huko wapo kati ya mil. 11 na mil. 15, ambao wanaufanya mji huo kuwa miongoni mwa miji mikubwa katika Ulaya.
Wikipedia article: http://sw.wikipedia.org/wiki/Istanbul
Coordinates: 40°59'28"N 28°55'38"E
- Bukarest 463 km
- Vratsa 515 km
- Kiev 1073 km
- Rostov juu ya Don 1095 km
- Zadar 1178 km
- Krakov 1239 km
- Minsk 1450 km
- Sankt Peterburg 2144 km
- Umeå 2610 km
- Luleå 2777 km
Array